April 17, 2017

 

Polisi katika jimbo la Ohio nchini Marekani wanamtafuta mtu anayedaiwa kufanya mauaji,huku akionyesha moja kwa moja mauaji hayo kupitia mtandao wa Facebook.
Maofisa katika mji wa Cleveland wamesema kuwa Steve Stephens anaonekana akionyesha moja kwa moja mauaji wakati akimpiga risasi mwanaume mmoja mtu mzima kupitia Facebook.
Mkuu wa Polisi mjini Cleveland Calvin Williams amemtaka Stephens ajisalimishe mwenyewe. Williams alisema kuwa mtu huyo ni hatari kuendelea kuwa mafichoni kwake.
Polisi wanasema hawajapata ushahidi madai ya Stephen kuwa amewauwa watu kumi na mmoja.

Related Posts:

  • Arsenal, Chelsea, Leicester zakanusha kuhusu kutumia madawa    Vilabu vitatu vikuu katika ligi kuu ya Uingereza EPL vimekanusha madai kuwa wachezaji wao wanatumia madawa yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini. Vilabu hivyo vimekanusha madai hayo yaliyochapish… Read More
  • Mtu wa mwingine apatikana na Ebola   Maafisa wakuu wa idara ya Afya nchini Liberia wamethibitisha kutokea kwa kisa cha pili cha mgonjwa wa Ebola. Taarifa hiyo ni pigo kwa kampeini ya taifa hilo la Magharibi mwa Afrika kutokomeza kabisa ugonjwa huo … Read More
  • Baadhi ya wachezaji wa EPL wanatumia madawa haramu   Serikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi wa dharura kufuatia ufichuzi kuwa wachezaji nyota wa kandanda nchini Uingereza wamekuwa wakitumia madawa yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini. Gazeti la Sunday… Read More
  • Uwanja wa ndege wa Brussels umefunguliwa    Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Brussels umefunguliwa. Uwanja huo ulikuwa umefungwa tangu shambulizi la bomu siku 12 zilizopita kusababisha vifo vya watu 16. Ndege zimeanza kuruka tena. Mkurugenzi mkuu wa … Read More
  • Mabenki sasa kupata taariza za wadaiwa wao   Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. Jerry Sabi (kushoto) na Bw. Davith Kahwa, Mtendaji Mkuu wa CreditInfo Tanzania Ltd wakibadilishana nakala za mkataba. Wengine ni Bw. Robert Kibona na Bw. Frimat Tarimo kutok… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE