
Kundi la chama cha wananchi CUF linaloongozwa na Prof. Lipumba, limekili kuhusika na vurugu zilizozuka katika kikao cha Katibu mkuu wa Chama hicho maalim Seiph na watu wake. Abdul Kambaya alionge na waandishi wa Hbarai leo hii na hii ndiyo kauli yake
0 MAONI YAKO:
Post a Comment