
Mbunge wa Mtama Nape Nnauye ameamka na tweet hii katika Ac yake ya Twitter, ambayo kimaelezo ndiyo sababu inayomfanya aonekane mbaya
Niliyashuhudia maisha haya mikoani(38months),nadhani ndio nikiyakumbuka naonekana mkorofi!!Iko haja kama Taifa kuangalia vipaumbele vyetu!
0 MAONI YAKO:
Post a Comment