May 08, 2017

 

Siku ya Jumamosi ya  06 Mei  2017 ni siku ya kihistoria kwa Tanzania kupatwa pigo, baada ya tukio la ajali ya basi iliyopoteza maisha ya wanafunzi 29 wa darasa ;a saba na walimu wawili pamoja na dereva. Ni sku isiyoweza kusahaulika , siku ya majinzi kwa taifa. Jumatatu ya 08 Mei 2017 Miili ya marehemu hao imesitiliwa katika makazi yao ya milele. Mwenyezi mungu awape maisha mema huko waendapo. Amin
Matukio yote ya kuaga na mpaka mazishi ya marehemu hao  yapo hapa


 
MH: Makamu wa Rais Mama Samia akitoa Heshima za mwisho kwa marehemu 
No automatic alt text available.


 Image may contain: 1 person, outdoor 
Jeshi la Wananchi wa Tanzania likishusha miili ya marehemu

  
Maelfu ya wananchi wakiwa katika uwanja wa Shekh Amri Abeid



Image may contain: one or more people, child and outdoor 

Image may contain: 10 people, people sitting
 Image may contain: 11 people


 Image may contain: 11 people

Image may contain: 6 people, people sitting

 Image may contain: 1 person, smiling, standing and outdoor 
Miili ya marehemu ikiwa tayari kwa kuagwa

Mmoja wa waliohudhuria ibada hiyo akifarijiwa 
 Mmoja wa waliohudhuria ibada hiyo akifarijiwa 

  









 Image may contain: 21 people, crowd and outdoor

 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE