
Pesa zote zinapokelewa moja kwa moja na kuratibiwa na uongozi wa shule. Mchango huu kwa sasa utaelekezwa kwa ajili ya rambirambi kwa wafiwa wote na kuratibu shughuli nyingine za msiba.
Kwa mawasiliano zaidi:
Mr. Jackson Raphael 0756779097 (Mkuu wa Shule, Lucky Vincent)
Mr. Michael Riziki 0768965001 (Mratibu wa Rambirambi)
Kwa msaada wa namna ya kutumia mfumo huu wa uchangiaji piga 0752030032.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment