
Mwanamuziki Barakah Da Prince amesema yupo tayari kujiunga na lable ya WCB inayomilikiwa na mwanamuziki Diamond. Akizungumza katika kipindi cha Ala za Roho cha Clouds Fm kinachoongwa na Diva The Bawse, Baraka amesema. Tazama Video hapa Chini
Machaku
0 MAONI YAKO:
Post a Comment