July 18, 2017

Image result for Deogratius Munishi Dida

Taarifa kutoka kwa mabingwa wa Ligi kuu nchini Tanzania Yanga kuhusu kipa wao  Deogratuis Munishi Dida aliyekwenda katika majaribio nchini Afrika ya Kusini. Taarifa inasema amefuzu majaribio yake  na Yanga kwa sasa wamempa nafasi ya kufanya mazoezi ili kujiweka sawa kabla ya safari yake. amesema katibu wa Yanga Charles Boniface Mkwasa katika taarifa yake ilitotoka muda huu

Image may contain: 1 person

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE