Ikiwa leo ni Augost 13, kama ilivyo ada sikunkama ya leo kila mwaka, Mwanamuziki Fid Q, huwa anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa. Kumbuka kwamba Fid Q alizaliwa Augost 13 katika Hospitali ya Bugando mkoani Mwanza Tanzania.. Fid Q ambaye jina lake kamili ni Fareed Kubanda ameachia wimbo wake mpya unaitwa Ulimi Mbili hapa akiwashirikisha Maua Sama, Hard Mad na Nuruelly
TUFUATE TARATIBU ILI KUDUMISHA AMANI YETU- MALECHA
-
Na Mwandishi wetu, Dar
Khalid Malecha, Mkazi wa Kitonga Jijini Dar Es Salaam, ameeleza kuwa maelfu
ya wananchi waliathirika moja kwa moja na ghasia na m...
13 minutes ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment