August 30, 2017


 Kutokana na ukaribu wake wa kifamilia na Roma, msanii wa Bongo Flava Dayna Nyange amesema rapper huyo huwa hakurupuki kuachia ngoma kutokana na kile ambacho anaandika.
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Chovya’, amesema kutokana na hilo huwa hana wasiwasi anaposikia Roma anataka kutoa wimbo.
“Ukimuangali Roma ni mwanamuziki yupo tofauti na watu wengi, yaani hata huwezi kuanza na kumlinganisha na mtu mwengine kwa sababu ya aina ya muziki ambao ameuchagua, I know him, yupo vizuri kichwani, ana uwezo, anajielewa na yupo makini,” Dayna ameiambia Bongo5.
“Watu wanajua Roma ni mtu ambaye haogopi chochote lakini kwenye kazi zake ni mtu ambaye anakuwa na uogo, hakurupuki kuachia kazi, mpaka aamua asema hii inatoka,” ameongeza.
Roma kwa sasa anatamba na ngoma yake ‘Zimbambwe’, ngoma hii ilitoka August 10 hadi sasa ina views 1,283,106 katika mtandao wa Youtube.

Related Posts:

  • MAMI YA WATU MOROGOR WAUAGA MWILI WA MTOTO NASRA RASHIDI         Safari ya Mwisho ya Nasra.kutoka hospitali ya mkoa wa Morogoro hadi Jamhuri stadium na baadaye Makaburi ya Kolla.Tunaamini sisi tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi.alikuon… Read More
  • SIKILIZA MUME WA FLORA MBASHA AKIOMBA MSAMAHA KWA SHEMEJI YAKE Tunaomba usikilize hii audio Mume wa Flora Mbasha akiomba msamaha na akifichua mambo magumu mazito yanyoendelea ndani ya famili hiyo ambayo imezua gumzo mtaani kwa kile kinachofikiriwa kua imepoteza uaminifu ku… Read More
  • Mtoto wa Pele afungwa jela miaka 33 Brazil 23 seconds ago Gwiji wa soka Pele akionekana mwenye huzuni. Akiwa na umri wa miaka 43, mchezaji mpira mstaafu, atatumikia kifungo kwa kosa la kujipatia p… Read More
  • RAY C ALITAMANI PENZI LA KIKONGWE MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amesema kwa sasa hana mpango wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu, na kama ikitokea basi atamtaka kuwa na miaka kuanzia 60. Akizungumza kat… Read More
  • MAMA YAKE ZITTO KUZIKWA KIGOMA KESHO    Mzee Stephen Wassira akimpa Zitto pole na faraja katika msikiti wa Maamur.Picha kwa hisani ya Khalfan Said. Maiti ya Bi Shida Salum, mama mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Kabwe, imesaf… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE