September 16, 2017

Image may contain: fire 

Image may contain: fire
Taarifa tulizozipokea muda huu ni kuwa nyumba ya Kiongozi wa Chama, Ndugu Zitto Kabwe ya Mwandiga, Kigoma imeungua moto muda huu.

Kamati ya ACT Amani inafuatilia jambo hili. Taarifa zaidi zitawajia punde.

Mohammed Babu
Mwenyekiti - Kamati ya ACT Amani (Ulinzi na Usalama)

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE