October 04, 2017

 

Mkali wa muziki wa Bongo fleva anayetamba kwa sasa toka Dingi Int. Aslay Isihaka, wikendi iliyopita aliiteka Morogoro pale alipopiga bonge ya show katika ukumbi wa Samaki Spot mkoani Morogoro. Aslay alionekana kuwateka mashabiki waliofika katika show hiyo ya Usiku wa ASlya baada ya mashabiki hao kuimba naye pamoja nyimbo zote.

 Tazama video hapa chini kama ilivyoletwa na DJ Mtes

           

Related Posts:

  • New Audio/ Ainea - Najuta kupenda Baada ya kufanya poa na ngoma yake ya sinampangoa naye aliyomshirikisha MR. Blue, hatimaye mkali wa muziki wa Bongo fleva toka mkoani Dodoma Ainea ameachi ngoma yake hii mpya kabisa ambayo tayari imeshaanza kufanya poa k… Read More
  • Aliyewaua waingereza kunyongwa hadi kufaKitanzi cha kunyongea watu Mahakama ya Malaysia imemkuta na hatia ya mauaji mtu mmoja kwa tuhuma za mauaji ya wanafunzi wawili wa udaktari kutoka nchini Uingereza.Mauaji hayo yanadaiwa kufanyika August mwakajana katika kisiwa… Read More
  • Taylor kukamilisha kifungo UingerezaAliyekuwa rais wa Liberia Charles Taylor ameamrishwa na mahakama kutumikia kifungo chake kilichosalia nchini Uingereza baada ya kukataliwa ombi lake la kuhamishiwa nchini Rwanda. Alitaka kuhamishiwa Rwanda kwasababu anadai ku… Read More
  • New Video/Team Racers- Tunavuka mipaka  Baada ya kimya cha muda mrefu hatimaye kundi la muziki wa Hip Hop toka mkoani Morogro Team Racers limeachia video yake mpya ya Tunavuka Mipaka. Hip Hop / Trap Song Preformed By TEAM RACERS  Audio Produc… Read More
  • Keisha aponea chupuchupu kifoMsanii wa Bongo Fleva,Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba,Posta jijini Dar.Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE