October 09, 2017

 

Spika wa Bunge la Ethiopia, Abadula Gemeda, amejiuzulu wadhifa wake huo bila kutoa sababu za maamuzi hayo.
Bw. Abadula ametangaza kujiuzulu kupitia televisheni ya taifa ya nchi hiyo, ameahidi kutoa sababu za maamuzi hayo katika tarehe ya baadaye.
Hata hivyo watu wengi wanadhani uamuzi wa Spika kujiuzulu ni hatua ya kupinga jinsi serikali kuu inavyoshughulikia hali ya usalama katika majimbo ya Oromia na Somali, ambapo watu wengi wameuwawa na maelfu kuondolewa kwenye makazi yao.Spika wa Bunge ni miongoni mwa wanasiasa muhimu nchini Ethiopia na uamuzi wake wa kujiuzulu umewashangaza wengi. Kabla ya kuchaguliwa Spika, Bw. Abadula alikuwa ni Mkuu wa Jeshi, Waziri wa Ulinzi na pia Mkuu wa Jimbo la Oromia

Related Posts:

  • Sakata la kufungiwa kwa wimbo wao wa kibamia,ROMA afunguka kwa mara ya kwanza   Msanii wa muziki wa hip hop, Roma Mkatoliki amefunguka kwa mara ya kwanza ikiwa ni mwezi mmoja toka afungiwe na Baraza la Sanaa la Taifa kujihusisha na shughuli za sanaa kutokana na kudaiwa kutoa wimbo ‘Kibamia’ … Read More
  • About Life, Na Peace Ze prezdaa Machaku Media, tunakukutanisha na mtangazaji wa kipindi cha Planet Base cha Planet Fm ya Morogoro. Jamaa anaitwa Peace Ze Prezdaa. Hapa licha ya kufanya kipindi cha kiburudani katika radiko, lakini hapa anajaribu kuzungu… Read More
  • Video: Long As I Live - Toni Braxton Malkia wa muziki wa Pop na R n B Ulimwenguni  Toni Braxton, ameachia Video ya wimbo wake wa  Long as Live. Video ipo hapa chini, itazame sasa           &nbs… Read More
  • Simba Yang'oka kiume Misri Baada ya wekundu wa msimbazi Simba kutolewa katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika na timu ya Al Masry huku wakitoka sare ya 0 – 0 nchini Misri, afisa habari wa klabu hiyo, Haji Manara amesema kuwa tim… Read More
  • Yanga SC yatangaza kuanza na Tv kisha Radio   Uongozi wa klabu ya Yanga umetangaza kuanzisha vipindi vya michezo vitakavyo ruka katika luninga ya Azam TV kama ilivyo kwa mahasimu wao Simba SC ambao wao tayari walishaanza pamoja na timu ya Azam FC. Wakio… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE