Mkongwe katika Game ya Muziki na mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi Sugu, amelinogesha jukwaa la Tigo Fiesta Classic Jijini Mbeya pale alipopanda jukwaani na kunogesha show hiyo ya aina yake iliyofanyika kwa mara ya kwanza kabisa katika Jiji la MBEYA, Fiesta hii ilikuwa ni maalum kwa watu wa Mbeya
MTENDAJI MKUU WA BENKI YA NMB ATEMBELEA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
-
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na Mtendaji Mkuu wa
Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna (hayupo pichani) alipomtembelea Wakili Mkuu
wa Ser...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment