Mkongwe katika Game ya Muziki na mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi Sugu, amelinogesha jukwaa la Tigo Fiesta Classic Jijini Mbeya pale alipopanda jukwaani na kunogesha show hiyo ya aina yake iliyofanyika kwa mara ya kwanza kabisa katika Jiji la MBEYA, Fiesta hii ilikuwa ni maalum kwa watu wa Mbeya
SPIKA ZUNGU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA EU
-
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu,
amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Mabalozi wa Nchi Wanachama wa
Umo...
10 minutes ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment