Mkongwe katika Game ya Muziki na mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi Sugu, amelinogesha jukwaa la Tigo Fiesta Classic Jijini Mbeya pale alipopanda jukwaani na kunogesha show hiyo ya aina yake iliyofanyika kwa mara ya kwanza kabisa katika Jiji la MBEYA, Fiesta hii ilikuwa ni maalum kwa watu wa Mbeya
ODDO MWISHO AENDELEA NA ZIARA YAKE KATIKA WILAYA YA TUNDURU
-
Mwenyekiti Wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa Oddo Mwisho akizungumza na
wananchi wa Kata ya Matemanga iliyopo Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma
Mwenyekiti Wa Ch...
56 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment