Mkongwe katika Game ya Muziki na mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi Sugu, amelinogesha jukwaa la Tigo Fiesta Classic Jijini Mbeya pale alipopanda jukwaani na kunogesha show hiyo ya aina yake iliyofanyika kwa mara ya kwanza kabisa katika Jiji la MBEYA, Fiesta hii ilikuwa ni maalum kwa watu wa Mbeya
Ngoma Mpya : INAGA MLYAMBELELE - MJA NA NDEGE, BAADA YA KUPONA!
-
Hii hapa ngoma ya Inaga Mlyambelele baada ya kupona!
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment