November 24, 2017




 23 November ya kila mwaka, inakuwa ni siku maalum kwa mwana Dada na mtangazaji maarufu mkoani Morogoro Warda Makongwa kwani ndiyo siku yake ya kuzaliwa. 

Warda anayefanya kipindi cha Mcharuko wa Pwani kinachorushwa na kituo cha Radio cha Planet FM cha Morogoro, siku ya Jna katika ukumbi wa BZ Hotel, alijumuika na mamia ya wadau wake, wadhamini, wafanya kazi wenzake na watu mbalimbali katika kusherehkea siku yake hiyo Muhimu. Watu maarufu na mashuhuri toka ndnai na nje ya Morogoro waliweza kuungana na mwana Dada huyo katika kufanikisha siku hiyo Muhimu.
 Wanafahamika kama Team Warda Makongwa walinogesha kinoma

 Kushoto ni Mkurugenzi wa Arport Garden Dunia ya warembo  akiwa na Mwenyekiti wa wasanii Morogoro Jackson Busanda
 Producer Wille Mahewa na Sameer Kinyulinyuli
 Watangazaji toka Abood Media Almas Adama na Abedi Kidunda

 Warda akifurahi jambo

 Warda Makongwa akikata Keki

 Waalikwa walipendeza vyakutosha


 Baadhi ya wafanyakazi wa Planet Fm

 Team Warda siyo watu wa mchezo kabisa

 keki ilitembezwa ukumbi mzima


 Mkurugenzi wa Nyumbani Park na Samaki Sport Madam Farida Mees Matlou kulia
 Seneta Farnk Nassilu Balali wa Tigo kwenye Red Carpet

Mkurugenzi wa Machaku Media Ahmad Machaku

Dodo Salimi toka Chinga Chipsi Centre akiwakilisha vema kabisa

 DJ Andrew B mwenye kofia akiw na DJ Fradoh wote toka Planet FM


 Anna Masatu katika pozi


Madam Farida kwenye Red Carpet

Warda alizawadiwa sanamu ya Twiga kumaanisha uzalendo wa Taifa Lake

 DJ Fradoh kwenye Red Carpet

 Warda alizawadiwa cheti cha Eshima kutoka Planet Media kutokana na mchango wake mkubwa sana katika kampuni hiyo 

 Mkurugenzi wa Nuba Spare Parts mwenye pensi akiwa na team yake

Mtu maarufu mjini Morogoro Juma Bonge akiwa kwenye pozi mbele ya Kamera ya Machaku Media


Mdhamini wa Zanzibar Stars Taara bwana Dangote naye alikuwepo

Bofya Video hapa chini
               

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE