December 28, 2017

Image may contain: 3 people, crowd  

Tume ya Uchaguzi nchini Liberia imemtangaza mwanasoka wa zamani, George Weah kuwa mshindi wa duru ya pili ya uchaguzi wa Rais nchini humo. Amepata ushindi wa asilimia 61.5.

Taarifa zaidi tutawaletea Punde


Related Posts:

  • SUMATRA yafungia mabasi kwa kutoza nauli kubwa   MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imefungia mabasi mawili … Read More
  • Umoja wa Ulaya wataka kudumishwa amani Misri   Federica Mogherini   Umoja wa Ulaya umezitaka pande zote zinazozozana huko Misri kudumisha amani nchini humo. Federica Mogherini mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya ameashiria utumiaji nguvu za ziad… Read More
  • Waziri wa Michezo atekwa nyara    Armel Mingatoloum Sayo, Waziri wa Vijana, Michezo, Sanaa na Utamaduni wa CAR aliyetekwa nyara na magaidi wa Anti-Balaka  Watu wanaosadikiwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi la Anti-Balaka la Jamhuri … Read More
  • Daktari afungwa kwa ukeketaji    FGM misri Katika kesi cha kipekee nchini Misri, daktari mmoja ametiwa mbaroni kwa kosa la kumkeketa msichana mwenye umri wa miaka kumi na tatu. Wakereketwa wanaopinga tabia ya kuwakeketa watoto wa kike,… Read More
  • Msafara wa jeshi washambuliwa Mali   Ripoti kutoka nchini Mali zinasema kuwa watu wasiojulikana wameshambulia msafara wa kijeshi karibu na mji wa Timbuktu. Wanajeshi wawili waliuawa kwenye mji ulio kaskazini wa Douékiré. Shambuliz hilo linajiri wakati… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE