Tume
ya Uchaguzi nchini Liberia imemtangaza mwanasoka wa zamani, George Weah
kuwa mshindi wa duru ya pili ya uchaguzi wa Rais nchini humo. Amepata
ushindi wa asilimia 61.5.
Umoja wa Ulaya wataka kudumishwa amani Misri
Federica Mogherini
Umoja wa Ulaya umezitaka pande zote zinazozozana huko Misri kudumisha amani nchini humo. Federica Mogherini
mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya ameashiria utumiaji nguvu za
ziad…Read More
Waziri wa Michezo atekwa nyara
Armel Mingatoloum Sayo, Waziri wa Vijana, Michezo, Sanaa na Utamaduni wa CAR aliyetekwa nyara na magaidi wa Anti-Balaka
Watu wanaosadikiwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi la Anti-Balaka la
Jamhuri …Read More
Daktari afungwa kwa ukeketaji
FGM misri
Katika kesi cha kipekee nchini
Misri, daktari mmoja ametiwa mbaroni kwa kosa la kumkeketa msichana
mwenye umri wa miaka kumi na tatu.
Wakereketwa wanaopinga tabia ya
kuwakeketa watoto wa kike,…Read More
Msafara wa jeshi washambuliwa Mali
Ripoti kutoka nchini Mali zinasema kuwa watu wasiojulikana wameshambulia msafara wa kijeshi karibu na mji wa Timbuktu.
Wanajeshi wawili waliuawa kwenye mji ulio kaskazini wa Douékiré.
Shambuliz hilo linajiri wakati…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment