Tume
ya Uchaguzi nchini Liberia imemtangaza mwanasoka wa zamani, George Weah
kuwa mshindi wa duru ya pili ya uchaguzi wa Rais nchini humo. Amepata
ushindi wa asilimia 61.5.
UJUMBE WA WATU 19 KUTOKA MALASYIA KUTUA DAR
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
TANZANIA inatarajiwa kupokea ujumbe mkubwa wa viongozi wa elimu ya juu
kutoka Malaysia, wakiwemo viongozi kutoka Wizara ...
Kilio ACT ikipigania haki ya uchaguzi
-
CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema safari ya kuitafuta haki ya uchaguzi
inaendelea. Lakini papohapo, kingependa kuona Mahkama
0 MAONI YAKO:
Post a Comment