Kwa wale wazee wa sasa , vijana wa zamani, naamini kabisa huwa mnapousikia huu wimbo hasa katika kipindi hiki cha Mwaka mpya , huwa mnakumbuka mbali sana. Ndiyo ni wimbo wenye hisia sana , kwa upande wangu binafsi japo sikuwepo enzi unatoka , ila nimeujua na kuuelewa sana . Ni wimbo ulioimbwa na Hamza Kalala akiwa na Bantu Group miaka hiyo. Unaitwa Tufurahi na mwaka mpya
KITUMBO AIBUKA MEYA MPYA MANISPAA YA SHINYANGA, TAZAMA AKIONGOZA KIKAO CHA
KWANZA BARAZA LA WADIWANI
-
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga ,Salum Kitumbo
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mazingira ya kisiasa ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Shinyang...
2 hours ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment