Kwa wale wazee wa sasa , vijana wa zamani, naamini kabisa huwa mnapousikia huu wimbo hasa katika kipindi hiki cha Mwaka mpya , huwa mnakumbuka mbali sana. Ndiyo ni wimbo wenye hisia sana , kwa upande wangu binafsi japo sikuwepo enzi unatoka , ila nimeujua na kuuelewa sana . Ni wimbo ulioimbwa na Hamza Kalala akiwa na Bantu Group miaka hiyo. Unaitwa Tufurahi na mwaka mpya
UJUMBE WA WATU 19 KUTOKA MALASYIA KUTUA DAR
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
TANZANIA inatarajiwa kupokea ujumbe mkubwa wa viongozi wa elimu ya juu
kutoka Malaysia, wakiwemo viongozi kutoka Wizara ...
2 days ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment