Waziri Mkuu wa zamani na mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha
Demokrasiana na Maendeleo (CHADEMA) na aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urasi wa Jamhuri ya Muungano kupitia umoja wa UKAWA, Mhe. Edward Lowassa amesema kuwa
alikwenda Ikulu baada ya kuitwa na Rais John Pombe Magufuli akimtaka
arudi CCM lakini alimjibu kuhama kwake hakubahatisha.
TCRA : VYOMBO VYA UTANGAZAJI VITENDE HAKI KWA VYAMA VYOTE VYA SIASA,
TUSIWEKE CHUMVI NA UTANI
-
Meneja wa Kitengo cha Utangazaji kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania
(TCRA), Mhandisi Andrew Kisaka Akizungumza katika Mkutano wa Misa Tanzania
na Wada...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment