Kutoka katika studio za Kwanza Records za Forest Mkoani Morogoro, Becka Title amedondosha wimbo wake mpya kabisa unaitwa Sina Ubaya. Audio ya wimbo huu imefanywa na Producer Vennt Skill chini ya Mokomoko Movement.
BASATA yaonya wasanii dhidi ya matapeli
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linawataka wasanii wote kuwa makini
na wakuzaji Sanaa (Mapromota) au baadhi ya wanaojiita wadau wa Sanaa
ambao wamekuwa …Read More
Nay wa Mitego – Shika adabu Yako (Behind The Scene)
Wimbo wa shika Adabu yako wa Nay wa Mitego ni moja ya nyimbo kubwa sana kwa sasa ndani na nje ya Tanzania. Licha ya BASATA kutoa kauli ya kuufungia wimbo huwo lakini sehemu kubwa ya burudani wimbo huwo unachezwa. K…Read More
Mwanafunzi Wa Kidato Cha Tatu Ajinyonga
Mwanafunzi
wa Kidato cha Tatu katika Shule ya Sekondari Nyanungu Tarafa ya Ingwe
wilayani Tarime mkoani Mara, Charles Chacha (19), amekutwa amejinyonga
chumbani kwake kwa kutumia kamba ya katani.
Diwani
wa kata h…Read More
Kimbunga Fiji:Waliofariki wafika 42
Idadi ya watu waliofariki kufikia
sasa katika janga la kimbunga kilichopiga kisiwa cha Fiji Jumamosi
iliyopita imepanda na kufikia 42.
Maafisa nchini humo wanahofu
kuwa huenda idadi hiyo ikapanda zaidi, kwan…Read More
Pirates Legacy kasino mtandaoni na Jackpot kubwa
-
Ni siku nyingine tena njema na bora Zaidi ya kukufungulia dunia ya
michongo, Leo nakupata...
The post Pirates Legacy kasino mtandaoni na Jackpot kubwa fi...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment