Kutoka katika studio za Kwanza Records za Forest Mkoani Morogoro, Becka Title amedondosha wimbo wake mpya kabisa unaitwa Sina Ubaya. Audio ya wimbo huu imefanywa na Producer Vennt Skill chini ya Mokomoko Movement.
Runinga zilizojizima kupigwa fainiMamlaka ya mawasiliano nchini Kenya sasa inasema kuwa itavipiga faini vituo vya uninga vya NTV,KTN,Citizen na QTV nchini Kenya kwa kuzima matangazo yao kufuatia hatua ya serikali kuhamia katika matangazo ya dijitali.
Mkurugen…Read More
Zuma: hakuna ruhusa mgeni kumiliki ardhi
b
Wageni hawatoruhusiwa kumiliki ardhi Afrika Kusini, kufuatana na sheria kali zinazopendekezwa na Rais Jacob Zuma.
Siku zijazo wageni wataruhusiwa tu kukodi kwa muda mrefu ardhi ya mashamba ya Afrika Kusini.
Mbali ya ha…Read More
Waliowajeruhi polisi Tanga wasakwaJeshi la Polisi nchini limesema wanawasaka watuhumiwa waliowajeruhi askari sita kwa risasi mkoani Tanga.
Askari hao walijeruhiwa wakati wakifanya kazi ya kuwatafuta watuhumiwa wa uhalifu wa kutumia silaha wanaodaiwa kuw…Read More
Bodaboda wezi wa simu, wakamatwa na kuchomewa pikipiki
Maeneo karibu na Ocean Road, vijana maarufu kwa ukwapuaji wa simu za
mkononi wakiwa kwenye pikipiki walimkwapulia dada mmoja simu. tukio hilo
lilionwa na mtu aliyekuwa kwenye gari ndipo alipoanza kuwafukuzia na
k…Read More
Wakazi Kasulu mkoani Kigoma washerehekea Valentine na Clouds
Leo ikiwa ni siku ya Valentine day yaani ni siku ya wapendanao Kwa mara ya kwanza kabisa, wakazi wa Kasulu mkoani Kigoma , wameanza kusikiliza matangazo ya kituo cha radio cha Clouds fm kwa masafa ya 89.3 FM.
…Read More
Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili hii
-
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA), Amani
Golugwa, amesema chake, kitaanza...
The post Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment