Kutoka katika studio za Kwanza Records za Forest Mkoani Morogoro, Becka Title amedondosha wimbo wake mpya kabisa unaitwa Sina Ubaya. Audio ya wimbo huu imefanywa na Producer Vennt Skill chini ya Mokomoko Movement.
Studio ya Barnaba ‘High Table Sound’ yafungwa
Msanii wa muziki, mwandishi na mtayarishaji wa muziki,
Barnaba Classic ameifunga studio yake ya ‘High Table Sound’ kwa ajili ya
matengenezo.
Akizungumza na Bongo5, Barnaba amesema aliamua kuifunga studio hiyo …Read More
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne
Habari mpenzi msomaji wa Ubalozini.blogspot.com. Karibu katika kurasa za Magazeti ya Tanzania leo hii Jumanne ya 10 Mei. Kurasa zote na habari kubwa zipo hapa
&nbs…Read More
Katumbi ahojiwa na waendesha mashtaka DRC
Mwanasiasa wa upinzani aliyetangaza
atawania urais nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Moise Katumbi
amehojiwa na maafisa wa mashtaka mjini Lubumbashi.Hii ni baada ya serikali kumtuhumu kwa kuwaajiri maml…Read More
Official Video: Mr.Nay True Boy - Saka Hela
Mkali wako wa muziki wa Bongo fleva nchini Tanzania, yule jamaa wa kuwashkisha adabu wakaishika, Nay wa Mitego True Boy, ameachia video ya wimbo wake mpya kabiosa unaoitwa Saka Hela. Video ya wimbo huo imefanyika…Read More
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment