March 21, 2018

Image may contain: one or more people 
Msanii wa muziki wa hip hop, Roma Mkatoliki amefunguka kwa mara ya kwanza ikiwa ni mwezi mmoja toka afungiwe na Baraza la Sanaa la Taifa kujihusisha na shughuli za sanaa kutokana na kudaiwa kutoa wimbo ‘Kibamia’ ambao hauna maadili.
BASATA- wamesema walimfungia msanii huyo baada ya kutakiwa na baraza hilo kubadili wimbo huo lakini hakufanya hivyo na kila alivyoita hakuweza kutokea.
Akiongea katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumatato hii, Roma akiwa na mwanae, Ivan amesema anawaomba BASATA kumpunguzia adhabu kwani hali yake ya kiuchumi siyo nzuri.
“Haya yote yanaongeleka, lengo ni Roma aendelee kufanya muziki wake kwa sababu muziki unamsaidia kama ajira, nyuma ya Roma kuna watu ambao anawasaidia. Kwahiyo wakati mwingine naomba ieleweke kwamba tufanye tu Roma aendelee na muziki wake ili maisha yake yaendelee,” alisema Roma.
Aliongeza,”Tena nikitoka hapa nitawasiliana na Katibu mkuu wa Basata najua atanisikiliza, pia nimesikia Jumatatu kuna mkutano wa wasanii wote na BASATA utafanyikia pale BASATA, zote ni katika njia ya kwenda kuyaongelea haya mambo, lengo tuwe chombo kimoja,
Akiwa katika mahojiano hayo na mtoto wake, Ivan aliulizwa na matangazaji wakipindi hicho kwanini hakwenda shule, na mtoto alisema hajaenda shule kutokana na tatizo la ada.
“Sijakwenda shule leo baba hana ada,” alisema Ivan mb


Related Posts:

  • New Audio/ Ainea - Najuta kupenda Baada ya kufanya poa na ngoma yake ya sinampangoa naye aliyomshirikisha MR. Blue, hatimaye mkali wa muziki wa Bongo fleva toka mkoani Dodoma Ainea ameachi ngoma yake hii mpya kabisa ambayo tayari imeshaanza kufanya poa k… Read More
  • Keisha aponea chupuchupu kifoMsanii wa Bongo Fleva,Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba,Posta jijini Dar.Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata … Read More
  • Kafulila: Nina Marafiki CCM, Chadema Mbona Sihusishwi Kuhamia huko? Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila, ambaye ni Katibu Mwenezi wa Chama cha NCCR-Mageuzi, amekanusha kuhamia chama cha kipya cha siasa cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania). Kafulula amesema kuwa hana sa… Read More
  • New Video/Team Racers- Tunavuka mipaka  Baada ya kimya cha muda mrefu hatimaye kundi la muziki wa Hip Hop toka mkoani Morogro Team Racers limeachia video yake mpya ya Tunavuka Mipaka. Hip Hop / Trap Song Preformed By TEAM RACERS  Audio Produc… Read More
  • Taylor kukamilisha kifungo UingerezaAliyekuwa rais wa Liberia Charles Taylor ameamrishwa na mahakama kutumikia kifungo chake kilichosalia nchini Uingereza baada ya kukataliwa ombi lake la kuhamishiwa nchini Rwanda. Alitaka kuhamishiwa Rwanda kwasababu anadai ku… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE