Kanye West
STAA wa Hip Hop kutoka Marekani, Kanye Omar West, hivi karibuni kupitia
ukurasa wake kwenye wa Twitter,ali,rusha mwanamuziki anayechipukia kutoka Tanzania, anayejulikana kwa jina la Lo
Sayaloha Ski, akimpa pongezi kutokana na wimbo wake mpya uitwao iBeen.

Lo Say Aloha Ski.
Baada ya posti hiyo mastaa mbalimbali wa Hip Hop Bongo, akiwemo G Nako walimpongeza mwanamuziki huyo na kumwambia azidi kukaza kamba afike mbali zaidi.Huku Producer Triss akionekana kufurahishwa sana na jambo hilo na kupost

0 MAONI YAKO:
Post a Comment