Mwanamuziki na Mtangazaji Maarufu kutoka mkoani Morogoro MC Calvin Maarufu Zombie President, ameachia wimbo wake mpya kabisa uitwao R I P Ngwair. Wimbo wa R I P Ngwair ni wimbo unaoonesha mapenzi ya wazi kabisa kutoka kwa msanii huyo kumuhusu Mangwea ambaye amefariki takriban mika 6 sasa imepita. Hakika pengo la Ngwair halitazibika. R I P Ngwair
WAENDELEZAJI TEKNOLOJIA ZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA WASISITIZWA KUONGEZA
UBUNIFU
-
-Lengo kila Mtanzania amudu gharama
-Watakiwa kutanua wigo wa usambazaji wa bidhaa
Waendelezaji wa Teknolojia za Nishati Safi ya Kupikia watakiwa kubuni ...
37 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment