Baada ya Bondia Twaha Kiduku wa Morogoro kutangaza hadharani akitaka mpambano na Bondia kutoka Dar Es Salaam Dulla Mbabe, sasa ni rasmi. Promota Ally Mwanzoa wa Tanga, ametaka mabondia hao kukutana naye na kuandaa pambano kati yao. Promota Mwanzoa amewapa Uhuru mabondia hao kuipanga tarehe na mwezi watakaotaka kupigana ila waende mezani wakaini mikataba ya pambano hilo.
WAFANYAKAZI BARRICK BULYANHULU WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUWAPA
FARAJA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM BUPAMBA
-
Wafanyakazi Wanawake wa Barrick Bulyanhulu wakigawa zawadi mbalimbali na
kuwafariji watoto wenye mahitaji maalum wanaosoma katika shule ya msingi ya
wanaf...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment