Baada ya Bondia Twaha Kiduku wa Morogoro kutangaza hadharani akitaka mpambano na Bondia kutoka Dar Es Salaam Dulla Mbabe, sasa ni rasmi. Promota Ally Mwanzoa wa Tanga, ametaka mabondia hao kukutana naye na kuandaa pambano kati yao. Promota Mwanzoa amewapa Uhuru mabondia hao kuipanga tarehe na mwezi watakaotaka kupigana ila waende mezani wakaini mikataba ya pambano hilo.
VIJANA NA WASOMI MKOANI MWANZA WAHIMIZWA UZALENDO NA UJASIRIAMALI KATIKA
KONGAMANO
-
Na Mwandishi Wetu
Katika jitihada za kuimarisha chachu ya maendeleo, Kongamano la Wasomi
lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM)...
21 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment