Baada ya Bondia Twaha Kiduku wa Morogoro kutangaza hadharani akitaka mpambano na Bondia kutoka Dar Es Salaam Dulla Mbabe, sasa ni rasmi. Promota Ally Mwanzoa wa Tanga, ametaka mabondia hao kukutana naye na kuandaa pambano kati yao. Promota Mwanzoa amewapa Uhuru mabondia hao kuipanga tarehe na mwezi watakaotaka kupigana ila waende mezani wakaini mikataba ya pambano hilo.
NEMC YAANGAZIA UHIFADHI WA MAZINGIRA KATIKA KONGAMANO LA UCHUMI WA BULUU
-
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), katika
Kongamano la 5 la Kimataifa la Uchumi wa Buluu, limejipambanua katika sekta
ya mazing...
5 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment