Baada ya Bondia Twaha Kiduku wa Morogoro kutangaza hadharani akitaka mpambano na Bondia kutoka Dar Es Salaam Dulla Mbabe, sasa ni rasmi. Promota Ally Mwanzoa wa Tanga, ametaka mabondia hao kukutana naye na kuandaa pambano kati yao. Promota Mwanzoa amewapa Uhuru mabondia hao kuipanga tarehe na mwezi watakaotaka kupigana ila waende mezani wakaini mikataba ya pambano hilo.
Migogoro ya ndoa yaongezeka, Serikali yawaangukia viongozi wa dini
-
MIGOGORO ya ndoa na familia imeongezeka kwa asilimia 8.3 kutoka mashauri
28,773 yaliyosuluhishwa 2022/23 hadi kufikia 31,380 yaliyofanyiwa kazi
2023/24. A...
3 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment