Baada ya Bondia Twaha Kiduku wa Morogoro kutangaza hadharani akitaka mpambano na Bondia kutoka Dar Es Salaam Dulla Mbabe, sasa ni rasmi. Promota Ally Mwanzoa wa Tanga, ametaka mabondia hao kukutana naye na kuandaa pambano kati yao. Promota Mwanzoa amewapa Uhuru mabondia hao kuipanga tarehe na mwezi watakaotaka kupigana ila waende mezani wakaini mikataba ya pambano hilo.
December 01, 2019
3:11 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Video:Profesa Jay alivyofanya Surprise kwenye show ya Belle9 Morogoro Mkongwe wa muziki wa Hip Hop toka mkoani Morogoro ambaye pia ni mbunge wa Mikumi Mh:Joseph Haule lipowafanyia mashabiki Surprise kwenye show ya Belle9 iliyofanyika siku ya Iddi Pili mkoani Morogoro … Read More
Mwalimu acharangwa mapanga kwa kumpa mimba mwanafunzi Mwalimu wa Shule ya Msingi Geitasamo iliyopo Kata ya Rung’abure wilayani Serengeti Mkoa wa Mara, Raphael Charles (22) amenusurika kufa kwa kucharangwa mapanga kwa tuhuma za kumpa ujauzito mwa… Read More
Kurasa za Magazetini leo jumatano 13 Julai 2016 Habari za leo mpenzi msomaji. Tunakukaribisha katika kurasa za magazetini leo hii jumatano 13 julai 2016 . Msgazeti yamebebwa na vichwa hivi vya habari … Read More
Picha ya kwanza ya sayari ya Jupiter Picha ya kwanza ya sayari ya Jupiter Chombo cha anga za juu cha shirika la Marekani la NASA kilichopewa jina Juno kimetuma picha za kwanza za sayari ya Jupite… Read More
Theresa May ndiye waziri mkuu wa Uingereza Bi Theresa May amechukua usukani kama waziri mkuu wa Uingereza. Akizungumza baada ya kupokea ufungua wa makao rasmi ya waziri mkuu wa Uingereza 10 Downing Street bi May amehakikishia washirika wake na mataifa… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment