Baada ya Bondia Twaha Kiduku wa Morogoro kutangaza hadharani akitaka mpambano na Bondia kutoka Dar Es Salaam Dulla Mbabe, sasa ni rasmi. Promota Ally Mwanzoa wa Tanga, ametaka mabondia hao kukutana naye na kuandaa pambano kati yao. Promota Mwanzoa amewapa Uhuru mabondia hao kuipanga tarehe na mwezi watakaotaka kupigana ila waende mezani wakaini mikataba ya pambano hilo.
BAJAJI NA BODA BODA-DODOMA WADHIHIRISHA WAKO TAYARI KUSHIRIKI UCHAGUZI
-
Na Meleka Kulwa, Dodoma
Mgombea ubunge wa Jimbo la Mtumba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),
Anthony Mavunde, ameahidi kuimarisha sekta ya usafirishaj...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment