May 01, 2012

Rich one akiingia kituo cha polisi Msimbazi, check body language ya askari anaandikisha anacheka Rich one mwenyewe hana wasiwasi hata kidogo, inasemekana eti anatumia jina la Ally Kiba kujipatia fedha isivyo halali, kuomba pesa na kutapeli watu kwamba yeye ni Ally Kiba kwa njia ya simu,wametrack mtandao ndo akakamatwa yeye, Bado tunasikilizia itakavyokuwa alafu more stories hapa kwenye  hii  blog  tukawa tunahukumu kumbe wanajuana tusubiri shauri hili mwisho wake huko mahamakani na polisi alafu tutajua mpango mzima, kwani hatuna tatizo na mtu pia tutamtamfuta Rich ONE naye ashuke! Lakini daaaaah 

PICHA  HII  NI  KWA HISSANI  YA  MILLARDAYO

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE