June 29, 2012


 Miili ya Wasomali hao ikiwa inashushwa jwa ajili ya kuzika
 Shughuli za Mazishi zimeanza 
                                             NI MAKABULI WANAPOZIKWA WASOMALI

Miili 22 ya Wasomali waliokuwa wakati wakisafiri kutoka nchini Ethiopia kwenda nchi za Afrika kusini kwa lengo la kusaka maisha  wamezikwa muda mfupi toka  sasa katika makaburi ya kola mkoani Morogoro.
Miili mingine 22 imezikwa mkoani Dodoma.
Picha na  Mpiga picha wetu

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE