September 01, 2012


Wimbo mpya wa Ben Paul ,Pete uliotoka August 2012 utafanyiwa video South Africa au Kenya. Ben Paul amefunguka kuwa ana Plan A na Plan B ya video hii. Plan A Ni kufanya video na Ogopa wa Kenya na Plan B ni kufanya video na Adam Kutoka Tanzania ila video watakwenda kufanya nchini South Africa kama alivyo fanya Ommy Dimpoz.Skilizia Updates zaidi kuhusu hichi kichupa kupitia Power Jams Ya East Africa Radio.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE