Wimbo
mpya wa Ben Paul ,Pete uliotoka August 2012 utafanyiwa video South
Africa au Kenya. Ben Paul amefunguka kuwa ana Plan A na Plan B ya video
hii. Plan A Ni kufanya video na Ogopa wa Kenya na Plan B ni kufanya
video na Adam Kutoka Tanzania ila video watakwenda kufanya nchini South
Africa kama alivyo fanya Ommy Dimpoz.Skilizia Updates zaidi kuhusu hichi kichupa kupitia Power Jams Ya East Africa Radio.
Nyota wa Medeama ya Ghana abaki Azama FC
Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, umefanikiwa
kunasa saini ya winga nyota wa timu ya Medeama ya Ghana, Enock Atta
Agyei, ambaye tayari amesaini mkataba wa miaka miwili.
Kinda huyo anatua baada ya …Read More
Rais Magufuli Atoa ONYO Kali....
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe
29 Julai, 2016 ameanza ziara ya siku nne katika mikoa ya Singida,
Tabora, Shinyanga na Geita akitokea mkoani Dodoma, ambapo amezungumza na
wa…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment