October 03, 2012

Baaada ya sinema ya Woman of Principels kufanya vizuri sokoni sasa ni wakati wa sinema bora kuingia mtaani jina ni Sister Marry ni sinemma yenye story ya kipekee sana kama kawaida ya kampuni yako RJ Company kufanya kazi yenye kiwango cha hali ya juu lini mzigo huu unatoka nitawataalifu .
Hiyo  ni kauli  ya  muigizaji  na  mtayarishaji  wa  Tasnia  ya  filamu  nchi  VICENT KIGOSI au  RAYTHE  GREATEST

Baadhi  ya  vipande  vitakavyokuwemo  katika  filamu  hiyo  mpya

 Hiki ni kimoja ya kifaa ambacho Ray huwa  anakitumia sana katika  kazi  zake

 Vijana wakiwa kazini wakikabiliana na majukumu yao


 Sister Beata(Johari) akiwa on set

Hapa picha  inaonesha  wakielezeana machache kabla ya kuingia on set.

 Kijana Dura  akiwa on set..

Vijana wakipiga mzigo kwa umakini mkubwa sana.

 Sister Mkuu akitoa mafunzo ya Utawa kwa masister.

Kila mtu yuko makini kuhakikisha kuwa mambo yanenda sawa na ndio siri ya kampuni ya RJ kufanya vizuri na wala si uchawi wadu ni jitihada tu

Kila penye nia pana njia kazi ndio mafanikio ya mtu hata vitabu vya dini vinasema kuwa asiye fanya kazi  na asile.
 The Greatest aki akikisha picha.

 Mambo yakiendelea kupamba moto.

  Hapa  wakifanya  setting ya picha.

Ray  yuko  makini  kabisa na  kazi  yake

RAY  "Huu mzigo si mchezo subirini kwa hamu sana mara nyingi huwa sikosei kwenye kazi zangu ni sinema niliyotumia hela nyingi sana mpaka kuona hivi"
 
Ewe  mdau  wa  filamu,  kaa  mkao  wa  kula    mzigo  mpya   huwooooo  unakuja.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE