December 13, 2012

      
Photo: #Your @Divaakamimi Akiwa Pande Za Mbalamwezi Beach Mikocheni Kwenye After School, Jumamosi 8/12/2012
                                                   Diva  ndani  ya   mbalamwezi


 Mtangazaji wa redio maarufu jijini dar es salaam CLOUDS  FM Loveness Love Diva amekataa na kupinga vikali kuhusishwa na Gazeti la Udaku la Uwazi lililotoka jumatatu na story yake inayomuhusisha na Mbunge wa Kigoma Mjini, Mh. Zitto Kabwe.
      
 Story hiyo ambayo pia imewahusisha wasanii wengine wa Bongo Movies Na Mwanamitindo maarufu nchini (Flaviana Matata) imewahusisha wadada hawa na issue ya Bw. Zitto endapo atakuwa Rais katika uchaguzi ujao.

Diva ambae anafanya vizuri katika kipindi chake cha  Ala  za  roho kinachorushwa saa nne  mpaka  saa  sita usiku alikataa kuhusishwa huko na gazeti hilo kupitia ukurasa wake wa twitter jana na kuomba asiwekwe kwa heshima ya rafiki zake na familia yake.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE