
MC Koba
Mwanamuziki wa mziki wa bongo fleva toka Moro na kundi la watu poli. Mc Koba, anataraji kuanza kufanya video ya wimbo mpya unaofahamika kwa jina la sina noma naye.
Akizungumza nami koba amesema kuanzia siku yoyote ya mwishoni mwa juma hili ataanza kufanya Video hiyo huku akiomba wadau wajitokeze kwa ajili ya ushauli.
Pia aliuzungumzia wimbo wa Afande Sele ambao wameimba wote unaoitwa Amani na upendo, amesema wimbo unafanya vizuri na mashabiki wanauelewa.
Anawashukuru wadau na vyombo vya habari kwa mchango wao mkubwa katika mziki na hasa akijizungumzia binafsi.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment