Daud wa kota
Mungu akupe kheri na fanaka tele. Leo ni siku yako ya kuzaliwa, miaka mingi iliyopita Familia ya Mzee Kanani, iliingia katika furaha baada ya kupatikana kwako.
Sasa kupitia blog hii tunakuomba uzidishe furaha zaidi ndani ya Familia ili isije kujuta kupatikana kwako. Mungu akuzidishie neema katika utafutaji wa ridhki zako. Awape majanga mazito wale wote wenye chuki nawe.
Mungu akupe kheri na fanaka tele. Leo ni siku yako ya kuzaliwa, miaka mingi iliyopita Familia ya Mzee Kanani, iliingia katika furaha baada ya kupatikana kwako.
Sasa kupitia blog hii tunakuomba uzidishe furaha zaidi ndani ya Familia ili isije kujuta kupatikana kwako. Mungu akuzidishie neema katika utafutaji wa ridhki zako. Awape majanga mazito wale wote wenye chuki nawe.
UTHAMANI
WA MZAZI UNAONGEZEKA CKU HADI CKU.UNAPOKUWA MTIIFU KWA
MUNGU NA KWA
JAMII INAYOKUZUNGUKA. SIFA ZOTE ZITAWAFIKIA WAZAZI. KAMA UNAJALI
UTHAMANI WA MZAZI WAKO, BASI USITHUBUTU KUMTUKANISHA KWA WEWE KUWA
JEURI, KIBURI. LINDA THAMANI YA MZAZI WAKO KWA KUWA MTIIFU MBELE YA
WENGINE. MUNGU AKUZIDISHIE KHERI KTK MAISHA YAKO YOTE.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment