March 24, 2013

                                            Willei  Matajili akifanya  moja  ya  kazi  zake

  Ni  producer toka  mjini  Morogoro  katika  studio  za  Mahewa  Records zilizopo  sabasaba. Ni  mmoja  katika  maproducer wanaoaminika  kutokana  n  ubora  wa  kazi  zao.

   Alianzisha  studio  ya  Mahewa  mwaka 2008.  Willei Matajili anasema  kazi  ya  kutayarisha  nyimbo  ni  ngumu  tofauti na wengi  wanvyochukulia. Hasa  unapofanya  kazi  na  msanii  mkubwa  mara  nyingi  anataka ufanye  kile  anchotaka  yeye  japo  ni  bor  lakini  wanakuweka  nje  ya  malengo  yako.


     Willei  anasema  kazi  inakuwa  ngumu  zaidi  unapofanya  kazi  na  msanii  mchanga,  unatakiwa  kutumia  muda  mwingi  kumuelekeza  ili  kufanya  kazi  iliyo  bora  zaidi.

                                       Willei  Mtajili wa  Mahewaaa  akizungumza  nami
  
     Nyimbo  ambazo    zimefanya  vizuri  sana  kutoka  katika  studio  za  Mahewa  chini  ya  utayarishaji  wake ni Sinyorita na Tutoke (Criss wamarya)  ni  wimbo  ulofanya  vizuri  sana  ktk  vituo  vya  radio  Tanzania  na  baadhi  ya  nchi  za  Africa Mashariki.  nyingine  Willei  anajivunia  ni  Maskini afulii   (Afande  Sele na  20%)
Karbu Morogoro  wa  Moro  All  Star, Simuoni ( Koba  MC),Kila  nabii na  nivumilie (Nassa)  na  wimbo  unaotamba  sasa  na  kufanya  vizuri  zaidi  wa  Kinyulinyuli  (Sameer)


   P.Funk  majani ndiye  producer  anayemkubali  sana  Tanzania.  "unajuwa  ma producer ni  wengi  nawakubali  lakini  Majani  namba moja  kwangu. Majani  ameleta  mageuzi  makubwa  sana  katika  mziki  wa  bongooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo  hana  budi  kupewa  alicho chake,  sifa  zake  tumpe" anasema  Willei

    Mahewa  Records  zipo  sabasaba  manispaa  ya  Morogoro

  

1 comment:

  1. Big up producer nakukubali sana
    mawasiliano yake nayapata vip?

    ReplyDelete

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE