April 10, 2013


 
 
ZITTO  KABWE
      Mbunge  wa  Kigoma  kaskazini - CHADEMA Zitto  Kabwe  Zuberi ameamua  kufunguka kuhusiana  na  RBT na  madai  ya  serikali
    Akifunguka  kupitia  ukurasa wake  wa  Facebook  Zitto  amesema
Zitto Kabwe
    Serikali inasema kampuni za simu zinalipa kodi nyingi. Kodi gani? VAT! Nani kasema VAT inalipwa na kampuni? Hii Ni kodi ya walaji kama ilivyo ushuru wa bidhaa (excise duty). Serikali inasema kampuni za simu hazilipi kodi ya mapato Kwa kuwa zimewekeza sana, tshs 2.5 trilion! Nani kakagua huo uwekezaji? Eti Kwa miaka 5 kodi ya makampuni iliyolipwa Ni tshs 64bn, wastani wa tshs 12bn Kwa mwaka. Rwanda yenye idadi ya watu sawa na wateja wa Vodacom peke yake mwaka 2010 walikusanya corporate tax $14m, Tanzania ilikusanya $1.4m tu. Serikali iache blah blah, ikusanye kodi. TCRA ipewe Nguvu ya kukagua uwekezaji wa makampuni kama ilivyo TMAA kwenye madini. Inatosha sasa

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE