April 10, 2013


Diamond


  Kufuatia  sakata  la  biashara  ya  miito  ya  sim lililoanzishwa  na  Mbunge  zitto kabwe,  wasanii  wa  bongo  freva  waanza  kufunguka  macho  na  masikio.  Mwanamuziki  anayefanya  poa  kwa  sasa  Diamond  kupitia  ac  yake  ya  Instagram amesema


    "Dah! hivi kweli Serikali imekosa majibu ya swali la mh: Mbunge kuhusu mapato ya biashara ya ringtones..!? Kweli sasa naanza kuamini kuwa Serikali Inatukumbatiaga tu kwa Mda mfupi na kututumia Wasanii kwenye Kampeni zao kwa Maslahi yao Binafsi, kisha wanatu Damp Baada ya kufanikiwa kwenye Uchaguzi wao, bila kujali Thamani na Mchango wetu kwao".

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE