May 13, 2013

 
    Wawezeshaji wa semina  hiyo  ni  Patrick  Ngowi, Zeno  Ngowi, Zitto Kbwe, Ruge Mutahaba na Mrisho Mpoto  wakiwa  meza  kuu  kulia  alyesimama ni Gerald  Hando
  
   Juzi  Clouda  media  Group,  ilifanya  uzinduzi  wake  wa  msimu  mpya wa  vipindi  vyake  mjini  dodoma,  ikiambatana na Semina  kubwa  ya  ujasiliamali  iliyoitwa  Fursa  tulizonazo.  shere  hizo  zilifanyika mjini Dodoma  zikihudhuliwa  na  wadau  na  wasanii  mbalimbali. 

 
 Mjasiliamali  Partrick  Ngowi kutoka kampuni  ya Helvetic Solar Contractors akijieleza  jinsi  alivoanzia mpaka  hapa  alipofikia 
            Mmoja  wa  wezeshaji  Mzee  Zeno  Ngowi  akitoa  elimu juu  ya  Fursa  tulizonazo.


  Diva  Loveness Love  akijitambulisha aliyekaa ni Shafii Dauda wote  toka  Clouds Media

 
        Millard  Ayo,  Dina Marious na  Zamaladi  mketema  nyuma  ni  snurah na  maestro

 
                                      Mbwiga  mwiguke  akijitambulisha
Mfalme  Sele  na  Tall  Bale  wakiwatilia  semina kwa umakini
 
 
Baadhi ya washiriki  ni  Stamina,  Darasa na  Ummy  kitwana
 Photo: Daud wa kota na Ney wa mitego 
Daudi  wa  kota  akiwa  na  Ney  wa  mitego  baada  ya  semina kumalizika

Hapa  ni  baada  ya  kumalizika  kwa  Semina
 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE