Dayna Nyange
Siku kadhaa baada ya ktokea mlipuko wa bomu mjini Arusha na kusababisha kifo na majeruhi, msanii wa muziki wa bongo freva Dayna Nyange, amesema yake. Katika kauli yake Dayna amesema serikali inatakiwa kuchukua htua za haraka juu ya wahusika wa tukio lile pindi wakibainika.
''Kwakweli ni tukio la ajabu na lakusikitisha hasa kwa nchi yetu tunayoishi kijamaa, watanzania tumezoea kuishi kindugu, lakini sasa haya matukio yamezidi kwakweli. Amani tulio nayo ni ndogo lakini tutakuja kuikumbuka kwani tuangalie nci za wezetu, wanishi kama wahamiaji ndani ya nchi zao kutokana na tukio hili la kusikitisha, tunatakiwa watanzania wote bila kujali itikadi za dini wala siasa, kukemea mambo haya na ikibidi kuhamasisha serikalai wachukue maamuzi magumu ili kukomesha haya mambo"Amesema Dayna Nyange
May 08, 2013
9:45 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Mtekaji ndege kufikishwa mahakamani Zaidi ya watu 60 walikuwa kwenye ndeg… Read More
Pele aishtaki Samsung anadai dola milioni 30 Gwiji wa soka ya Brazil Pele ameishataki kampuni ya kutengeza bidhaa za kielektroniki ya Samsung kwa kutumia mfano wake katika matangazo ya kibiashara bila idhini. Pele anataka kampuni hiyo ya Korea Kusini imlip… Read More
Yamoto Band toka Temeke wametuletea wimbo huu mpya unaitwa nigande Baada ya kufanya poa na nyimbo zao nyingi kali, Yamoto Band toka Temeke, wamutupa nafasi nyingine ya kuuskiliza na kuupakua wimbo wao mpya unaitwa Nigande … Read More
Mayanja: Ni vichekesho kama Yanga itafungwa na Al Ahly Kiungo mchezeshaji wa zamani wa Al Masry ya Misri na Esprance ya Tunisia na kocha wa Simba kwa sasa, Mganda, Jackson Mayanja ‘Mia Mia’, amesema kitakuwa ni kichekesho cha mwaka kama Yanga itafungwa na Al Ahly… Read More
Karibu kurasni katika magazeti ya Leo Jumatano March 30, 2016 Tumekukusanyia magazeti haya hapa ya Tanzania, uweze kupitia habari zake zilizobeba uzito leo hii Jumatano March 30 , 2016 &nb… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment