May 08, 2013

                                                                   Dayna  Nyange

      Siku  kadhaa  baada  ya  ktokea  mlipuko  wa  bomu  mjini  Arusha  na  kusababisha  kifo  na  majeruhi,  msanii  wa  muziki  wa  bongo  freva  Dayna  Nyange,  amesema  yake. Katika  kauli  yake  Dayna  amesema  serikali  inatakiwa  kuchukua  htua  za  haraka  juu  ya wahusika  wa  tukio  lile  pindi  wakibainika.

    ''Kwakweli  ni  tukio  la  ajabu  na  lakusikitisha  hasa  kwa  nchi  yetu  tunayoishi  kijamaa, watanzania  tumezoea  kuishi  kindugu,  lakini  sasa  haya  matukio  yamezidi  kwakweli.  Amani  tulio  nayo  ni  ndogo lakini tutakuja  kuikumbuka  kwani  tuangalie  nci za  wezetu,  wanishi  kama  wahamiaji ndani  ya  nchi  zao kutokana  na  tukio  hili  la  kusikitisha,  tunatakiwa  watanzania  wote  bila  kujali  itikadi  za  dini  wala  siasa,  kukemea  mambo haya na ikibidi  kuhamasisha serikalai  wachukue  maamuzi  magumu  ili kukomesha  haya  mambo"Amesema  Dayna  Nyange

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE