Dayna Nyange
Siku kadhaa baada ya ktokea mlipuko wa bomu mjini Arusha na kusababisha kifo na majeruhi, msanii wa muziki wa bongo freva Dayna Nyange, amesema yake. Katika kauli yake Dayna amesema serikali inatakiwa kuchukua htua za haraka juu ya wahusika wa tukio lile pindi wakibainika.
''Kwakweli ni tukio la ajabu na lakusikitisha hasa kwa nchi yetu tunayoishi kijamaa, watanzania tumezoea kuishi kindugu, lakini sasa haya matukio yamezidi kwakweli. Amani tulio nayo ni ndogo lakini tutakuja kuikumbuka kwani tuangalie nci za wezetu, wanishi kama wahamiaji ndani ya nchi zao kutokana na tukio hili la kusikitisha, tunatakiwa watanzania wote bila kujali itikadi za dini wala siasa, kukemea mambo haya na ikibidi kuhamasisha serikalai wachukue maamuzi magumu ili kukomesha haya mambo"Amesema Dayna Nyange
May 08, 2013
9:45 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Brand New Video: Bill Nass ft Mwana FA - Mazoea Baada ya kukaa kimya kidogo, hatimaye mwanamuziki Bill Nass ameachia wimbo wake mpya unaitwa Mazoea aliomshirikisha Mwana FA &… Read More
Mgombea udiwani CUF awataka wananchi kumuunga mkono ili kutetea haki zao Mgombea udiwani kata ya kiwanja cha Ndege Morogoro kwa tiketi ya chama cha Wananchi CUF Ndugu Abeid Haroub Mlapakolo, amewaomba wakazi wa kata hiyo kumuunga mkono katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika 22 January… Read More
Simba yavutwa Shati Moro, yatoka sare ya kavu na Mtibwa Timu ya Simba imeshindwa kuondoka na ushindi kwenye Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro baada ya kulazimishwa sare ya kutokufungana na wakata miwa wa Morogoro mtibwa Sugar mechi iliyochezwa leo. Baada ya… Read More
Aboutrika aorodheshwa kama Gaidi Mohamed Aboutrika 0 Kiungo mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Al Ahly na Misri, Mohamed Aboutrika ameongezwa kwenye orodha ya magaidi nchini Misri kufuatia kutuhumiwa kuwa na uhusiano na kikundi cha Muslim Brotherhood k… Read More
Serikali Yamalizana Na Wenyeviti Wa Serikali Za Mitaa.......Yawaruhusu Kutumia Mihuri Yao Baada ya mvutano wa muda mrefu baina ya Serikali na Wenyeviti wa Serikali za mitaa,Serikali imesitisha muongozo wake wa kuzuia kutumia mihuri kwa wenyekiti wa serikali za mitaa. Akizungumza leo hii Jijini Dar e… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment