Kwa Dizaini Hii Lazma Nirudi Kwetu K...........Aaaaah Maisha Haya Ya Bongo?,,,,COMING SOON Huu Mzigo...1 Love. Ndicho alichokiandika katika ukurasa wake wa Facebook Alfajiri ya leo
Wapiganaji 36 wa Islamic State wanyongwa Iraq
Makuruti waliouawa na wapiganaji wa Islamic State 2014
Iraq imewanyonga
wapiganaji 36 wa kundi la Islamic State wanaohusishwa na mauaji ya
makurutu 1,700 katika kambi …Read More
CUF Kumpata Mrithi wa Lipumba loe
CHAMA cha Wananchi (Cuf) leo kinatarajia kumpata mrithi wa Profesa
Ibrahim Lipumba ambaye alikuwa Mwenyekiti wa chama hicho, baada ya
kufanyika mkutano na Uchaguzi Mkuu kwa ajili ya kuchagua viongozi katika
nafasi…Read More
Jela miaka 30 Kwa Kumbaka Mwanafunzi wa Miaka 9
MAHAKAMA
ya Hakimu Mkazi wilayani Urambo mkoani Tabora, imemuhukumu Deus
Barnaba(45) kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumkuta na hatia ya
kumnajisi mwanafunzi wa darasa la tatu mwenye umri wa miaka tisa.
Akitoa
…Read More
Fiesta 2016 Yaiteka Mwanza
Ikiwa
ni show nya kwanza kabisa ya msimu rasmi wa Fiesta 2016, wakazi wa Jiji
la Mwanza wameweza kuuzindua rasmi msimu huu wa Buradani nchini lakini
mwaka huu ukija kivingine kabisa.Wiz Kid toka nchini Nigeria ndiye …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment