June 22, 2013

DSC_5121 (640x430) 
Juliua  Mtatiro naibu katibu mkuu  CUF
 Usiku  wa  kuamkia  leo  kundi lenye harakati  halisi  za  Hip  hop  kikosi cha mizinga liliazimisha miaka 13 tangu kuanzishwa mwaka 2000 pale block 41.

DSC_5197 (640x430)
Kala  Pina jukwaani
  Katika  Historia ya aina yake mgeni rasmi alikuwa ni naibu katibu mkuu CUF  Tanzania Bara Mh: Julius Mtatiro na ndiye aliyesoma Historia ya kundi hilo.  
  Pia wasanii mbalimbali walikuwepo ni pamoja na Mfalme Sele ambaye alihusika sana tangu mwanzo. Wengine ni Chid Benz, Gangwe Mob,B D P, Mark 2 B simba na wengine kibao
Afande Sele akiimba kwa hisia 
Mfalme  Sele akiimba kwa hisia kali
Chidi Benz 
Chid  Benzi Chuma akipagawisha
 Mansu-Li 
Mansu lii
Kikosi cha Mizinga na wageni waalikwa wakigawa vyeti va shukrani 
Kikosi na wageni waalikwa wakigawa vyeti vya shukrani
Mark 2 B aka Simba 
Mark 2 B Simba
DSC_5180 (640x430) 
DSC_5088 (640x430) 
Burudani mwanzo mwisho mashabiki wapandwa na midadi

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE