
Katika hali ya kuwashangaza wengi , msanii Chidi Benzi kutofautiana na Kala Pina wa kikosi cha mizinga, usiku wa leo naye atakuwa ni mmoja ya wasanii wa watakaofanya show katika kuazimisha miaka 13 ya kikosi pale Msasani Club. Kala pina amethibitisha hilo na kusema hawana tofauti na Chid Bemzi
0 MAONI YAKO:
Post a Comment