July 24, 2013

 
DAYNA  NA MZEE CHILO
 Msanii  wa  muziki wa Bongo fleva anayetamba na wimbo wake wa Leo, Dayna Nyange  makli wao,  ameamua kuweka wazi kwamba anamkubali mzee Chilo kutokana na kazi  zake.

     Akizungumza na ubalozini.blogspot.com Dayna amesema kwamba namkubali sana mzee chilo kutokana na kazi zake  huku akikazia kwa kuandika katika ukurasa wake wa Facebok wakiwa katika picha ya pamoja na gwiji huyo wa Filamu nchini
  
  "Me n ma dady Mzee Chilo
naelewa sana kazi zake inshaalah mungu akujaalie uendelee kufanya vizuri siku zote."

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE