August 22, 2013


 
  Poetry Addiction au Uraibu wa ushairi unaweza kutumia lugha ya kiswahili kama ukipenda. Mara ya kwanza ilifanyika pale Triniti ikiwahusisha wasanii kama Damian Soul,Wakazi,Chidy Benz,Fid Q mwenyewe na wengine. Fareed Kubanda ametangaza ujio mwingine wa Poetry Addiction ambayo itafanyika 31 mwezi wa huu(8) palepale Triniti Oysterbay. This time kutakuwa na wasanii kama Fena Gitu a.k.a Fenamenal kutoka Kenya,Avid,Cliff Mitindo,Henry The 1st,Lufuz,Masharkanz,Damian Soul,Fid Q mwenye na kuwa hosted by Ncha Kali. Time ni saa mbili hadi saa saba usiku kwa kiingilio cha Tsh 10,000.

Related Posts:

  • New Audio: Koba - Zawadi Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, hatimaye mkongwe wa muziki wa Bongo fleva MC KOba au Koba, amekuletea wimbo wake mpya kabisa, unaitwa zawadi ameimbakatika maadhi ya Mchiriku au Mnanda.  Download hapa chini … Read More
  • Rasmi, Majina ya wagombea Ubunge CCM 2015 haya hapa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) leo kimetangaza majina ya wagombea ubunge, ubunge viti maalum, uwakilishi na uwakilishi viti maalum ambapo baadhi ya wagombea walioshinda kwenye kura za maoni wametupwa nje na kuc… Read More
  • Sugu, Prof. J, Juma Nature kuhamasisha vijana kupiga kura Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Kala Jeremiah akiongea na waandishi wa habari ili kuwaelezea ... Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Kala Jeremiah akiongea na waandishi wa habari ili kuwaelezea onyesho lao la bure wanalotara… Read More
  • New Audio: Mzalendo - Suma G   Huyu jamaa ni kutoka Hot Pot Family, kitambo sana alipote. Ni mzee wa Usawhili Suma G, anakualika kusikilza wimbo wake mpya uitwao mzalendo.  Download hapa chini … Read More
  • Mbio za urais 2015. Lowassa afunika Mbeya leo Mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Ukawa kwa tiketi ya Chadema Mhe.Edward Lowassa akisalimiana na viongozi mbalimbali wa Ukawa baada ya kutua Jijini Mbeya leo kwa lengo la kujitambulisha .. Kikosi kazi kikiwata… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE