August 22, 2013


 
  Poetry Addiction au Uraibu wa ushairi unaweza kutumia lugha ya kiswahili kama ukipenda. Mara ya kwanza ilifanyika pale Triniti ikiwahusisha wasanii kama Damian Soul,Wakazi,Chidy Benz,Fid Q mwenyewe na wengine. Fareed Kubanda ametangaza ujio mwingine wa Poetry Addiction ambayo itafanyika 31 mwezi wa huu(8) palepale Triniti Oysterbay. This time kutakuwa na wasanii kama Fena Gitu a.k.a Fenamenal kutoka Kenya,Avid,Cliff Mitindo,Henry The 1st,Lufuz,Masharkanz,Damian Soul,Fid Q mwenye na kuwa hosted by Ncha Kali. Time ni saa mbili hadi saa saba usiku kwa kiingilio cha Tsh 10,000.

Related Posts:

  • Magazeti ya IPP Media yapatiwa Leseni Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akielezea jambo wakati wa zoezi la kukabidhi Leseni za machapisho kwa Kampuni ya The Guardian Ltd leo Jijini Dar es Salaam i… Read More
  • Polisi yapiga marufuku kumuombea Lissu Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu  CHADEMA Mkoani Rukwa kimeshindwa kufanya ibada ya maombi kwa ajili ya Mwanasheria Mkuu wa Chama chao, Mh. Tundu Lissu aliyejeruhiwa kwa risasi hivi karibuni&… Read More
  • "Sikuwa nimejipanga"- Linah  Msanii wa bongo fleva, Linah Sanga. Msanii wa bongo fleva, Linah Sanga amefunguka na kudai hakuwa amejipanga kwa kipindi hiki kuwa na mtoto ila anamuomba Mungu isiwe kigezo cha yeye kupotea katika muziki … Read More
  • Breaking News: CHADEMA yapata Pigo, Diwani wake Afariki Ghafla    Diwani wa Viti Maalumu wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ester Mpwiniza amefariki dunia jioni hii.  Kifo chake kimesababishwa na shinikizo la damu amba… Read More
  • Brand New Audio: Harmonize - Nishachoka Kutoka W C B jumba linaloongoza kwa kutoa mastar wa muziki wa bongo Fleva, wanakuletea tena kwa mara nyingine wimbo mpya kabisa kutoka kwa Harmonize unaitwa Nishachoka. Download hapa sasa kuuskiliza wimbo huu mpya … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE