August 10, 2013

 Hapa  Madee akifanya ibada
   Msanii  toka  kundi la  Tip  Top Conection Madee  au  rais  wa  Manzese , mapema  leo  ametembelea  kabuli la mwanamuziki m,wenzake  Albert  Mangwea  Mjini  Morogoro.

 Madee akiwa haamini kunachoendelea
    Hatua  hiyo  imekuja  siku chache baada  ya mwanamuzimki toka  mkoani  Morogoro  Dayna  Nyange  nkufanya  hivyuo  siku  chace zilizopita  ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani

       Madee alikuwa kwenye  show mjini  Morogoror katika ukumbi wa Nyumbani Park,  ndipo baada ya kumaliza show yake , asubuhi alifanya maamuzi hyo ya kutembelea na kufanya ibada katika kabuli la Mangwea
 Kwembe Tall  na  Eddie Masali walimsindikiza Madee Makabulini


Hili ndilo kabuli lililolazwa Mwili wa Albert Mangwea

Mungu ampumzishe kwa amani.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE