Picha
aliyopiga Staa wa filamu za Kibongo Irine Uwoya na Staa wa Bongo Fleva
Abwene Yesaya ‘AY’imezua utata mtandaoni baada ya mashabiki kujiuliza
labda pengine kuna filamu ambayo wanaiandaa kuifanya.
AY
akizungumza alisema kuwa picha hiyo walipiga baada ya
kumaliza kufanya enterview na Uwoya kupitia kipindi chake kipya ambacho
kinarajia kuanza hivi kupitia Clouds Tv
Source Teentz.com…
0 MAONI YAKO:
Post a Comment