September 03, 2013

 
Darassa  Mr: skati tamaa 
Mwanamuziki wa Hip Hop  Tanzania, Darassa Sharif, Leo amezaliwa. katika kumbukumbu za siku yake muhimu, Darassa ametoa ujumbe kwa jamii kama ilivyo kawaida ya wana Hip Hop
''september3 kama ya leo mikaa 20 naa iliopita ndo mimi nimezaliwa, nimezaliwa mtaan nimekulia mtaan na stil naish mtaan hustle day n night sio kuhama mtaan kuweka ambacho hakiko sawa mtaan, mitaa imenipa meng mazur na mabaya, imenipa majaribu mitihan maumivu skuyachukulia kama matatizo niligundua yangeniumiza mara mbili niliyachukua kama Changamoto. kitu kingine nilichagua kua mimi na kwa sababu najua binadam tunamachaguo meng na dunia unakupa unataka wewe!!! pamoja na ugum ya maisha na mazingira nilokulia sijawah kujuta kwa nin mama alinizaa, HESHIMA NA MAPENZ YA KUTOSHA KWA MAMA ANGU amepitia meng kwangu na hajawah kuonyesha kuchoshwa na mimi!!!! R.I.P ndugu majiran washkaj weng sana nimepoteza mtaan so mi kua hapa leo ni zawad haijalish unaish vip na uko wap Enjoy maisha tunaish mara tu. happy born day to ma boy Shariff Thaabeet ramadhan a.k.a Darassa mr sikati tamaa em self we unajua storry inavyokwenda.... wun Luv
 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE