Keny wapoteen
Leo tarehe tatu sept. amezaliwa mkali wa Media Tanzania, toka wapoteen crick, Keny Wapoteen.
Kwa niaba ya ubalozini respect, ubalozini Camp, Team Clouds, wakali wa media tanzania, na www.ubalozini.blogspot.com tunaungana kukutakia kheri ya maisha marefu yenye baraka tele. Mungu akuzidishie upendo na kukupa ridhki za kila siku.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment