
Kupitia akaunti yake ya Instagram @irenewaferegola8, uwoya ameandika:
[ @ ] irenewaferegola8
Ipo siku ntaongea ukweli kuhusu shigongo na ushaid pia ntatoa...usilo
lijua nikama usiku wagiza ndomana atawadanganya wasio na akili na wasio
mjua....ntapgana nae mpaka tone la mwisho la damu yangu ntasema kila
kitu kwanin ananichukia...na ntaweka kila kitu waz....den wenye akili
watajua naongea nin...simuogop atakama atanichafua kiasi gan...hizo
kwangu ni matone yamvua bado mvua yenyewe...I don care kwaatakae muamin
but mwisho wa siku ukweli utaonekana na atataman ardhi ipasuke......mim
irene uwoya sijashawishiwa na mtu wala kulazimishwa nahaaidi ya kwamba
ntaongea kila kitu btwn me n him....eeh mwenyez ? MUNGU nisaidie.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment