November 21, 2013

Akaunti ya Twitter ya AY pamoja na email zake, zimekuwa ‘hacked’ na watu wasiojulikana.
Kwenye akaunti yake ya Twitter, watu hao wameandika kuwa AY amesainishwa na Kanye West na kwamba ubonyeze link kuona picha.
Kwenye email yake, ay@aytanzania.com, watu hao wamewatumia watu wake wa karibu email ya kuomba msaada wa kifedha kwakuwa amekwama:
I really hope you get this fast. I could not inform anyone about our trip, because it was impromptu. we had to be in Lagos for a program. The program was successful, but our journey has turned sour. we misplaced our wallet and cell phone on our way back to the hotel we lodge in after we went for sightseeing.
The wallet contained all the valuables we had I am sorry if I am inconveniencing you, but i have only very few people to run to now. I will be indeed very grateful if i can get a loan of 1.500USD or whatever you can afford to spare me from you. this will enable me sort our hotel bills and get my sorry self back home. I will really appreciate whatever you can afford in assisting me with. I promise to refund it in full as soon as I return. let me know if you can be of any assistance. here the hotel phone + 234-8142442532. Please let me know soonest. AY
Bado AY hajaweza kuzirejesha tena akaunti hizo mikononi mwake.

Related Posts:

  • Mtatiro aiwakilisha CUF Afrika Kusini    Julius Mtatiro akiwa na Kuli ni #Mmusi_Maimune, kiongozi wa chama cha DA na Kiongozi Mkuu wa Upinzani Afrika ya Kusini. (Kwenye Bunge la Afrika Kusini). na Kushoto ni Mhe. #Nevers_Mumba, Makamu wa Rais wa Zam… Read More
  • Yemi Alade, Tekno na Jose Chameleone kutumbuiza Fiesta ya Dar Waandaji wa Tamasha la Fiesta wametangaza kuwadondosha wakali wa muziki kutoka Naija na Uganda, Yemi Alade, Tekno Na Jose Chameleone kwenye kilele cha tamsha hilo. Wakali hao watatumbuiza viwanja vya Leaders… Read More
  • Mwigulu amrejesha Pluijm Jangwani WAZIRI wa mambo ya ndani ya nchi na mwananchama wa Yanga, Mwigulu Nchemba amefanikiwa kumshawishi kocha mholanzi Hans Van Pluijm arejee katika kazi yake ya kukinoa kikosi cha mabingwa hao watetezi wa Ligi kuu. Pluijm a… Read More
  • Linah amjibu Amini Baada ya Amini kudai msanii mwenzake Linah Sanga amebadilika na kupoteza ule uimbaji wake wakuvutia, Linah amefunguka na kuizungumzia kauli hiyo. Muimbaji huyo ambaye aliwahi kufanya vizuri na wimbo ‘Ole Themba’ am… Read More
  • Afande Sele amlipua Zitto Kabwe kuhusu tuhuma za Ufisadi  Siku ya jana  mwanachama wa ACT na mgombea Ubunge wa Morogoro mjini kupitia ACT Ndg Selemani Msindi (Afande Selle) ametoa maoni yake kuhusiana na chama chake cha ACT na kashfa za NSSF. _________… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE