January 11, 2014

Habari zenu wana MMU. Poleni na uchovu wa kazi. Mimi ni mdada nimezoea sana huu mchezo wa punyeto kwa sababu sipendi kuwa kwenye mahusiano sababu yameniumiza sana.Nikaamua kujiridhisha mwenyewe. Naomba ushauri nifanyeje niweze kuacha huu mchezo wa punyeto. Ushauri wako mhimu nitaufanyia kazi.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE