January 06, 2014

Video ya Nakula Ujana ya Nay wa Mitego yamkosanisha na mpenzi wake


Mpenzi wa Nay wa Mitego hajapenda kile alichokiona kwenye video ya Nakula Ujana. Kwa mujibu wa Nay, video hiyo imesababisha ugomvi ndani ya uhusiano wao kutokana na Nay kuonekana kwenye video hiyo akishikwa kifuani na sehemu zingine za mwilini na wasichana warembo wa Kenya.

“Nakula #ujana #video inataka kuharibu kwa bby... #966 ckiliza mrs nay hii ni video 2 hakuna kingine kilichoendelea baada ya apo,,, ni kweli we ndo unastahili kushika icho kifua bt ni kazi 2 na nikatika kufanya ki2 kizuri.. plzz tusigombane bcoz of zat zic video,, sawa angeweza act m2 mwingine bt ckuona haja yakumuweka m2 nilitakiwa kuonyesha uhalisia kidogo...@wemalious mi penda wewe sana kila m2 anajua,, wale mabinti wa kikenya wackupe pressure,” ameandika kwenye Instagram rapper huyo

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE