
MNYIKA John John
@jjmnyika
follows you
Member of Parliament,United Republic of Tanzania-Ubungo Constituency|Member of CHADEMA|Information and Publicity Director!
-
@zittokabwe Tunaye Mh. Rais@jmKikwete hapa ambaye ndiye mpangaji, atatueleza ukweli. Amepandisha mpaka 160m?@PatNanyaro -
@dopvista Kama ni kweli, sikubaliani na nyongeza ya 160m, hailingani na mshahara wa 3.4m wala hali hali ya uchumi wa nchi@zittokabwe -
@zittokabwe Kukisha kuwa na mabadiliko ya mshahara, mafao yanabadilika kulingana na mshahara kwa mujibu wa sheria@tgeneya@jmkikwete -
@zittokabwe Sio mfumo tu wa malipo ya wabunge, mfumo mzima wa utawala/fedha tunapoelekea Bunge la Katiba na Bunge la Bajeti@PatNanyaro
0 MAONI YAKO:
Post a Comment