U heard na Soudy Brown mganga wa msanii AT aibuka na kufunguka kuwa alimpa pete ya bahati na kifimbo ili awe juu kwenye game,lakini watibuana baada ya AT kutotimiza ahadi alizomuahidi ya kumlipia kodi ya nyumba.Msikie Mganga akitiririka alafu AT naye afunguka.
Sina hofu yoyote ushindi ninao – OMO
-
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud
Othman ametoa nasaha zake...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment