U heard na Soudy Brown mganga wa msanii AT aibuka na kufunguka kuwa alimpa pete ya bahati na kifimbo ili awe juu kwenye game,lakini watibuana baada ya AT kutotimiza ahadi alizomuahidi ya kumlipia kodi ya nyumba.Msikie Mganga akitiririka alafu AT naye afunguka.
JAJI MWAKAHESYA : WAANDISHI WA HABARI ZINGATIENI MAADILI NA SHERIA KUELEKEA
UCHAGUZI MKUU
-
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga Ntuli
Mwakahesya akizungumza kwenye mkutano mkuu wa SPC.
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanz...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment