U heard na Soudy Brown mganga wa msanii AT aibuka na kufunguka kuwa alimpa pete ya bahati na kifimbo ili awe juu kwenye game,lakini watibuana baada ya AT kutotimiza ahadi alizomuahidi ya kumlipia kodi ya nyumba.Msikie Mganga akitiririka alafu AT naye afunguka.
MANDHARI KUELEKEA MAONYESHO YA WIZARA YA KILIMO BUNGENI DODOMA
-
Kuelekea Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
itakayosomwa Bungeni jijini Dodoma, Mei 2 na Mei 3, 2024, Wizara ya Kilimo
kwa kushiriki...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment