February 06, 2014


 
U heard na Soudy Brown mganga wa msanii AT aibuka na kufunguka kuwa alimpa pete ya bahati na kifimbo ili awe juu kwenye game,lakini watibuana baada ya AT kutotimiza ahadi alizomuahidi ya kumlipia kodi ya nyumba.Msikie Mganga akitiririka alafu AT naye afunguka.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE