March 06, 2014


Mmiliki wa Tuzo tano za Kili Musi Award Abas Kinzasa 20%, Leo kupitia ukurasa wake wa Facebook, amefunguka maneno makali kwa Mbunge wa Mbeya Mjini ambaye pia bi Muasisi wa muziki wa bongo fleva MH: Joseph Mbilinyi na Mfalme wa Rhymes Tanzania Afande Sele huku akikataa kuwekwa miungoni mwao.
Twent Parcent KinzasaMh Sugu.hafikirii chchte,wala kuzungumzia chchte kuhusu Mh Sele?Real Friend Not Change..Mm nilikuwa mshabiki wa hawa maswahiba,itabaki hvyo..musiniweke kwenye kundi la m1 wao.

Related Posts:

  • Bunge limemuangusha Rais Magufuli - Mtatiro   Mchambuzi wa masuala ya kisiasa na mwanasheria kutoka Chama cha Wananchi (CUF) Julius Mtatiro amesema Bunge limemwangusha Rais Magufuli kwa kuchagua kamati dhaifu katika kamati zilizotangazwa hivi karibuni. Akiel… Read More
  • Will Smith kususia tuzo za Oscars                     Will Smith asema anamuunga mkono mkewe Jada Pinkett smith kususia onyesho la tuzo la Oscars 2016 Msanii… Read More
  • Uchaguzi Zanzibar,i ZEC wataja Tarehe Tume ya Uchaguzi ya zanzibar ZEC imetangaza tarehe rasmi ya kurudiwa kwa uchaguzi  mkuu visiwani humo kuwa ni  2o March 2016 Taarifa hiyo imetolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar imeb… Read More
  • Darassa amekuletea hii mpya Mkali wa Hip Hop toka Tanzania Darassa, amekuja tena na wimbo wake huu mpya unaitwa kama Utanipenda. Darassa katika wimbo wake huu mpya amekuja na mwanamuziki mkali katikam anga ya bongo fleva bwana Rich Mavoco … Read More
  • Tokomeza kipindupindu yazua tafrani Morogoro Mgambo wa Manispaa ya Morogoro wakiwakamata kwa nguvu baadhi ya Wananchi waliokaidi zoezi la kuondolewa kwa mama ntilie katikati ya Mji   Mgambo wa Manispaa ya Morogoro wakishirikiana na Jeshi la Polisi pa… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE